Bondia Ibrahim King Class akiwasili nchini akitokea nchini Ujerumani ambapo alishinda taji la Dunia ubingwa Global Boxig Council  katika uzito wa kati mara baada ya kumchapa Jose Forero wa  wa Panama  kwa Point
  Bondia Ibrahim King Class akinyoosha mkanda wake juu wa ubingwa
  Bondia Ibrahim King Class akiwa na kocha wake Habibu  Kinyogoli  mara baada ya kutaua nchini
  Bondia Ibrahim King Class akiwa na makocha wake Habibu Kinyogoli na Rajabu Muhamila Super D mara baada ya kuwasili nchini
  Bondia Ibrahim King Class akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa ngumi
 Bondia Ibrahim King Class akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa ngumi


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...