Bondia Ibrahim King Class akiwasili nchini akitokea nchini Ujerumani ambapo alishinda taji la Dunia ubingwa Global Boxig Council katika uzito wa kati mara baada ya kumchapa Jose Forero wa wa Panama kwa Point
Bondia Ibrahim King Class akinyoosha mkanda wake juu wa ubingwa
Bondia Ibrahim King Class akiwa na kocha wake Habibu Kinyogoli mara baada ya kutaua nchini
Bondia Ibrahim King Class akiwa na makocha wake Habibu Kinyogoli na Rajabu Muhamila Super D mara baada ya kuwasili nchini
Bondia Ibrahim King Class akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa ngumi
Bondia Ibrahim King Class akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa ngumi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...