Katibu Mkuu chama cha uokoaji majini Tanzania Bwa. Alexander Mwaipasi akitoa maelezo ya mafunzo ya usalama majini yatayofundishwa kwa muda wa wiki katika Skuli ya kimataifa iliyopo Mazizini Mjini Zanzibar.
Kapten Khatibu Khamis wa Kikosi cha KMKM Zanzibar akifungua mafunzo ya usalama majini kwa vikundi mbalimbali vinavyojishuhulisha na uokoaji Afika Mashariki pamoja na skari wa jeshi hilo katika Skuli ya kimataifa Mazizini Mjini Zanzibar. (kulia) Katibu Mkuu chama cha uokoaji majini Tanzania Bwa. Alexander Mwaipasi na (kushoto) ni Katibu wa KMKM Sports Club luteni Sheha Mouhammed Khamis.
Mkufunzi Job Kania kutoka chama cha uokoaji cha Dunia (ILS) akifafanua jambo kwa baadhi ya wanafunzi wa mafunzo ya usalama majini yaliyofanyika Skuli ya kimataifa Mazizini Mjini Zanzibar.
Mmoja wa washiriki wa mafunzo ya usalama majini akimunyesha mgeni rasmin jinsi ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu alieza na kuokolewa katika mafunzo hayo.

Picha na Makame Mshenga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...