Katibu Mkuu wa Chama cha Wapangaji nchini Dumey Mukama akizungumza na Waandishi wa habari juu ya tamko lao la kupinga Madalali ambao hawajasajiliwa katika mfumo wa kampuni ,ambao wamekuwa kero kwa wanachama wao.
Mwanasheria wa Chama cha Wapangaji nchini, Pamela Kihumo akisisitiza jambo juu ya hatua watakazochukua kwa madalali wote ambao awajajisajiri katika mfumo wa makampuni katika kuendesha biashara ya upangishaji nyumba
Waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo wakiwa makini katika kuchukua taharifa hiyo kutoka chama cha Wapangaji ndani ya ukumbi wa idara ya haabari maelezo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...