Chuo cha Uhasibu Arusha kinakaribisha maombi ya kujiunga na chuo hicho katika ngazi za Cheti, Diploma, Bachelor, Postgraduate diploma na Masters katika fani zifuatazo:
- Accountancy
- Finance and Banking
- Business Management
- Economics and Finance
-Computer Science na
- Information Technology
Chuo kina kampasi Arusha, Dar es salaam,
Mwanza na Babati mkoani Manyara.
Mwanza na Babati mkoani Manyara.
Watumishi wa IAA katika banda lao viwanja vya Maonesho ya Kimataifa ya Biashara vya Mwalimu Nyerere (SABASABA) barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam wakiwa tayari kukuhudimia. Banda lao lipo jengo la Wizara ya Fedha na mipango.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...