Mkurugenzi Mtendaji wa Duka la My Wedding Solutions, Anna Lema akishirikiana na Mama yake Mzazi pamoja na Mtoto wake Doreen kukaka keki maalum ya Sherehe za kuamisha ya Miaka 10 ya Duka la My Wedding Solutions, iliyofanyika katika Hoteli ya Sea Scape, Mbezi Beach Jijini Dar es salaam usiku wa Julai 7, 2017.
Mmiliki na Mkurugenzi Mtendaji wa Duka la My Wedding Solutions, Anna Lema (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya wageni waliofika katika Sherehe ya Maadhimisho ya Miaka 10 ya Duka la My Wedding Solutions, iliyofanyika katika Hoteli ya Sea Scape, Mbezi Beach Jijini Dar es salaam usiku wa Julai 7, 2017.
Mmoja wa ma MC wa shughuli hiyo, Salma Msangi akizungumza wakati akiweka sawa mambo katika Sherehe hiyo ya Maadhimisho ya Miaka 10 ya Duka la My Wedding Solutions, iliyofanyika katika Hoteli ya Sea Scape, Mbezi Beach Jijini Dar es salaam usiku wa Julai 7, 2017.
Sakina Lyoka ambaye ni MC pia akisikiliza jibu baada ya kumuuliza swali, Mmiliki na Mkurugenzi Mtendaji wa Duka la My Wedding Solutions, Anna Lema, katika Sherehe hiyo ya Maadhimisho ya Miaka 10 ya Duka la My Wedding Solutions, iliyofanyika katika Hoteli ya Sea Scape, Mbezi Beach Jijini Dar es salaam usiku wa Julai 7, 2017.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...