Mkurugenzi
Mtendaji wa Duka la My Wedding Solutions, Anna Lema akishirikiana na
Mama yake Mzazi pamoja na Mtoto wake Doreen kukaka keki maalum ya Sherehe za kuamisha ya Miaka 10 ya Duka la My Wedding
Solutions, iliyofanyika katika Hoteli ya Sea Scape, Mbezi Beach Jijini
Dar es salaam usiku wa Julai 7, 2017.
Mmiliki
na Mkurugenzi Mtendaji wa Duka la My Wedding Solutions, Anna Lema
(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya wageni waliofika
katika Sherehe ya Maadhimisho ya Miaka 10 ya Duka la My Wedding Solutions, iliyofanyika katika Hoteli ya Sea Scape, Mbezi Beach Jijini Dar es salaam usiku wa Julai 7, 2017.
Mmoja wa ma MC wa shughuli hiyo, Salma Msangi akizungumza wakati akiweka sawa mambo katika
Sherehe hiyo ya Maadhimisho ya Miaka 10 ya Duka la My Wedding Solutions,
iliyofanyika katika Hoteli ya Sea Scape, Mbezi Beach Jijini Dar es
salaam usiku wa Julai 7, 2017.
Sakina Lyoka ambaye ni MC pia akisikiliza jibu baada ya kumuuliza swali, Mmiliki na Mkurugenzi Mtendaji wa Duka la My Wedding Solutions, Anna Lema, katika Sherehe hiyo ya Maadhimisho ya Miaka 10 ya Duka la My Wedding
Solutions, iliyofanyika katika Hoteli ya Sea Scape, Mbezi Beach Jijini
Dar es salaam usiku wa Julai 7, 2017.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...