Imekuwa habari njema kwa wadau wa Efm redio waliopo mikoani ambapo redio haikuweza kuwafikia, sasa Efm redio inasikika katika mikoa mitano ambayo ni Dar es salaam na Pwani kupitia masafa ya 93.7, Mwanza 91.3, Mbeya 103.3 na Mtwara 93.7 na hivi karibuni inatarajia kufikisha masafa yake katika mikoa mingine. Lengo kubwa ni kuhakikisha redio Efm inamfikia kila mtanzania na kuhakikisha jamii inanufaika kupitia matangazo ya vipindi mbalimbali vinavyoenda sambamba na matamasha yanayoendeshwa na redio hii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...