Ni muda wetu sasa! Ndio ni muda wetu. Karibu katika Jukwaa la Nguvu ya Binti  2017, litakalounganisha mabinti, vijana na jamii kwenye mijadala inayomtazama Mtoto wa kike na changamoto zake za kila siku.
Enhe! Mwambie rafiki  aje tujifunze, ushauri na tuulize maswali katika mada zinazobeba Ajenda mpya ya Nguvu Ya BINTI 2017
Kila jumatano ya pili na ya mwisho wa mwezi katika kurasa za Femina Hip : Facebook,Instagram na Twitter @feminahip
#SautiYaNguvuYaBinti

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...