Msanii wa Filamu nchini Issa Mussa maarufu kama Clod 112 (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitambulisha filamu yake mpya ijulikanayo kama “Tusijisahau,” katikati ni Mtayarishaji wa filamu hiyo Bi. Amina Musa na kushoto ni Mwakilishi toka Bodi ya Filamu Tanzania Bi. Esther Ibrahim.
Mtayarishaji wa filamu ya “
Tusijisahau” Bi. Amina Musa (kushoto)
akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wakitambulisha
filamu hiyo mapema hii leo jijini dare s Salaam, katikati ni Muigizaji wa
filamu hiyo Bw. Issa Mussa maarufu kama Clod 112 na kulia ni Mhasibu wa kampuni
ya AMUS Entertainment Bw. Abdul Vencha.
Picha na Eliphace Marwa - Maelezo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...