Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akizungumza jambo na Kamanda wa Polisi mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Debora Magiligimba, IGP Sirro amepita mkoani Singida, akiwa safarini kuelekea mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi yenye lengo la kujitambulisha pamoja na kuzungumza na askari wa Jeshi hilo
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akiweka saini katika kitabu cha wageni katika kituo cha Polisi cha Wilaya ya Manyoni mkoani Singida, na kuzungumza na baadhi ya askari na maofisa (hawapo pichani), IGP Sirro, amepita katika wilaya hiyo, akiwa safarini kuelekea mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi yenye lengo la kujitambulisha pamoja na kuzungumza na askari wa Jeshi hilo.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akipokea taarifa kutoka kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Manyoni (OCD) Cleophace Magesa, IGP Sirro, amepita katika wilaya hiyo, akiwa safarini kuelekea mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi yenye lengo la kujitambulisha pamoja na kuzungumza na askari wa Jeshi hilo
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akifurahia jambo na kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga, kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Muliro J. Muliro, IGP Sirro, amepita mkoani humo, akiwa safarini kuelekea mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi yenye lengo la kujitambulisha pamoja na kuzungumza na askari wa Jeshi hilo. Picha zote na Demetrius Njimbwi – Jeshi la Polisi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...