Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro
na Meneja Mkuu wa kampuni ya utengenezaji magari ya Haval, Bw. Jianguo Liu wakikata
utepe kuashiria kukabidhiwa magari manne yaliyotolewa na kampuni hiyo ikiwa ni
juhudi zake katika kulisaidia Jeshi la Polisi kupambana na uhalifu nchini. Hafla
hiyo imefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi,Oysterbay,jijini Dar es
Salaam
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon
Sirro akisikiliza maelekezo ya jinsi linavyotumika moja ya magari manne waliyokabidhiwa na Kampuni ya utengenezaji
magari ya Haval. Anayemuelekeza ni Meneja wa Kampuni ya Kifaru Bw. Mario Gaspari. Hafla
hiyo imefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi, Oysterbay, jijini Dar
es Salaam
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon
Sirro akizungumza wakati wa Hafla ya
makabidhiano magari manne yaliyotolewa na Kampuni ya utengenezaji magari ya
Haval, ambapo aliishukuru kampuni hiyo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi
katika vita ya kupambana na uhalifu. Hafla hiyo imefanyika leo katika Ukumbi wa
Mikutano wa Polisi,Oysterbay,jijini Dar es Salaam
Meneja wa Kampuni ya utengenezaji magari ya
Haval, Jianguo Liu, akizungumza wakati wa Hafla ya makabidhiano magari manne
yaliyotolewa na Kampuni hiyo ambapo aliahidi kushirikiana na Jeshi la Polisi
katika vita ya kupambana na uhalifu nchini.Kushoto aliyesimama ni mkalimani wa
lugha ya kichina.Hafla hiyo imefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi,
Oysterbay, jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Jeshi la Polisi
nchini (IGP), Simon Sirro (wanne kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Meneja
wa Kampuni ya utengenezaji magari ya Haval, Jianguo Liu(watatu
kushoto), baada ya makabidhiano ya magari manne kutoka kwa kampuni hiyo ikiwa
ni mchango wao katika kulisaidia Jeshi la Polisi kupambana na uhalifu nchini.Wengine
ni viongozi wa juu wa jeshi na viongozi wa kampuni ya Haval.Hafla hiyo
imefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi,Oysterbay, jijini Dar es
Salaam.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...