Kipa wa kimataifa mstaafu wa Taifa Stars Ivo Mapunda ameandaa clinic ya magolikipa siku ya tarehe14 Julai, 2017 itayofanyika katika uwanja wa Karume kuanzia saa mbili asubuhi. Kituo cha Ivomapunda Sports Center ndio kimeandaa hii clinic.
Mgeni rasmi ni mkufunzi anayetoka Taasisi ya michezo ya Keepers Foundation nchini Poland, Marek Dragozs.
Hivyo makipa wote na makocha wa magolikipa wanaalikwa kuhudhuria kwa mchango mdogo wa shilingi 5000 tu. Hii si ya kukosa!
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...