Kamanda muagwa  Mrakibu Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji A. Mwandofu akiwaaga baadhi ya Askari na maafisa wa jeshi la zimamoto na ukoaji mkoa wa mbeya katika hafla fupi ya kumuaga na kumkaribisha kamanda Kamishna msaidizi J.S Ikonko Kuwa kamanda wa jeshi hilo la Zimamoto na Uokoji mkoa wa mbeya.
Kamanda Kamishna msaidizi J.S Ikonko zkizungumza na baadhi ya Askari wa jeshi la zimamoto na uokoaji mkoa wa mbeya (hawapo pichani) Mara baada ya kukaribishwa rasmi kuwa kamanda wa jeshi la zimamoto na Uokoaji  kwa mkoa wa mbeya.

Kulia ni kamanda wa Jeshi la magereza mkoa wa mbeya SACP, Paul Mwankingi (Mgeni Rasmi) akipokea zawadi ya Kifaa cha kuzimia Moto kutoka kwa Askari Poul Kabwogi katika Tafrija fupi ya kumuaga Kamanda muagwa  mrakibu msaidizi wa jeshi la zimamoto na uokoaji A.Mwandofu na kumkaribisha kamanda Kamishna msaidizi J.S Ikonko Kuwa kamanda wa jeshi hilo la Zimamoto na Uokoji mkoa wa mbeya.
Picha ya Pamoja mgeni rasmi kamanda wa Jeshi la magereza mkoa wa mbeya SACP, Poul Mwankingi, Kamanda muagwa  mrakibu msaidizi wa jeshi la zimamoto na uokoaji A.Mwandofu, kamanda mpya Kamishna msaidizi J.S Ikonko, Maafisa na Askari wa jeshi la zimamoto na uokoaji mkoa wa mbeya sanjari na wageni waalikwa walio hudhuria hafla hiyo iliyo fanyika katika ukumbi mdogo wa mkapa uliopo jijini mbeya siku ya tarehe 8,07,2017. 
 PICHA ZOTE NA MR.PENGO MBEYA.
MAELEZO NA FC EMMANUEL SPALIKA (PREI MBEYA)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...