Wachezaji wa JKT NA Mabibo wakipena mikono katika mchezo wa Ligi ya mchezo wa Kikapu mkoa wa Dar es Salaam RBA katika uwanja wa Gymkhana Dar es Salaam
Mchezaji wa Mabibo akijaribu kutupa mpira nje ya D katika mchezo wao wa Ligi ya Mchezo wa Kikapu iliyofanyika ya mkoa wa Dar es Salaam RBA iliyofanyika katika uwanja wa Gymkhana Dar es Salaam
Mchezaji wa timu ya JKT akitupa mpira nje ya D katika mchezo wao wa Ligi ya Mchezo wa Kikapu
iliyofanyika ya mkoa wa Dar es Salaam RBA iliyofanyika katika uwanja wa
Gymkhana Dar es Salaam
Mchezaji wa JKT na Mabibo wakiwania mpira katika mchezo wao wa Ligi ya Mchezo wa Kikapu
iliyofanyika ya mkoa wa Dar es Salaam RBA iliyofanyika katika uwanja wa
Gymkhana Dar es Salaam
Mchezo wa Mabibo akijaribu kuwatoka wachezaji wa JKT katika mchezo wao wa Ligi ya Mchezo wa Kikapu
iliyofanyika ya mkoa wa Dar es Salaam RBA iliyofanyika katika uwanja wa
Gymkhana Dar es Salaam
Mchezo wa Mabibo kijaribu kutupa mpira nje ya D katika mchezo wao wa Ligi ya Mchezo wa
Kikapu iliyofanyika ya mkoa wa Dar es Salaam RBA iliyofanyika katika
uwanja wa Gymkhana Dar es Salaam
Mchezaji wa JKT akipiga Danki kwenye ngome ya Mabibo k katika mchezo wao wa Ligi ya Mchezo wa
Kikapu iliyofanyika ya mkoa wa Dar es Salaam RBA iliyofanyika katika
uwanja wa Gymkhana Dar es Salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...