JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO

Simu ya Upepo  : “N G O M E”        Makao Makuu ya Jeshi,
Simu ya Mdomo: DSM 22150463    Sanduku la Posta 9203,
Telex                   : 41051                      DAR ES SALAAM, 11 Julai, 2017.
Tele Fax              : 2153426
Barua pepe       : ulinzimagazine@yahoo.co.uk
Tovuti                  : www.tpdf.mil.tz

Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatarajia kukabidhi Majengo ya kituo cha afya Kabyaileishozi,kituo cha malezi ya Wazee cha kilima na shule ya sekondari ya Omumwami yaliyoko wilaya ya Misenyi Mkoani Kagera tarehe 12 Julai 2017 kuanzia saa mbili kamili asubuhi 2:00.

Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu SSera,Uratibu na Bunge Mhe Jenista Mhagama.

Ukiwa mdau wa habari inaombwa kutuma mwakilishi wa chombo chako cha habari ili kufanya coverage la tukio hilo muhimu kwa maendeleo ya Taifa letu.Natanguliza shukrani.

Imetolewa  na  Kurugenzi  ya  Habari  na  Uhusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
S.L.P  9203,   Dar es Salaam,  Tanzania.

Kwa Mawasiliano zaidi: 0756-716085

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. JWTZ, acheni kutumia baruapepe ya yahoo.com/

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...