JESHI LA ULINZI
LA WANANCHI WA TANZANIA
KURUGENZI YA
HABARI NA UHUSIANO
Simu ya Upepo : “N G O M E”
Makao Makuu ya Jeshi,
Simu ya Mdomo:
DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203,
Telex
: 41051 DAR ES SALAAM, 11 Julai, 2017.
Tele Fax
: 2153426
Tovuti : www.tpdf.mil.tz
Taarifa kwa
Vyombo vya Habari
Jeshi la
Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatarajia kukabidhi Majengo ya
kituo cha afya Kabyaileishozi,kituo cha malezi ya Wazee cha kilima na
shule ya sekondari ya Omumwami yaliyoko wilaya ya Misenyi Mkoani Kagera
tarehe 12 Julai 2017 kuanzia saa mbili kamili asubuhi 2:00.
Mgeni
Rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu SSera,Uratibu na
Bunge Mhe Jenista Mhagama.
Ukiwa
mdau wa habari inaombwa kutuma mwakilishi wa chombo chako cha habari ili
kufanya coverage la tukio hilo muhimu kwa maendeleo ya Taifa letu.Natanguliza
shukrani.
Imetolewa na Kurugenzi ya Habari
na Uhusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
S.L.P 9203, Dar es Salaam, Tanzania.
Kwa Mawasiliano zaidi: 0756-716085
JWTZ, acheni kutumia baruapepe ya yahoo.com/
ReplyDelete