Kada wa CCM na Mwanachama wa UVCCM James R.Mwakibinga amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea nafasi Ya Uenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi. Fomu hizo amekabidhiwa na Katibu Msaidizi Mkuu Organaizesheni ,Siasa na Uhusiano wa Kimataifa wa UVCCM Ndg.Ramadhani Kizinga Ofisi ndogo Ya Makao Makuu Ya UVCCM Upanga Dar Es salaam
Home
Unlabelled
KADA MWAKIBINGA AJITOSA KNIYANG'ANYIRO CHA UENYEKITI UVCCM TAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...