Kaimu Jaji Mkuu Prof Ibrahim Juma akipata maelezo kutoka kwa Katibu Msaidizi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Agnes Mgeyekwa, kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama Husein Katanga.
Kaimu Jaji akisaini kitabu cha wageni katika banda la Tume ya Kurekebisha Sheria wakati alipotembelea banda hilo leo.
Kaimu Jaji Mkuu Prof Ibrahim juma akiingia kutembelea banda la Tume
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...