Mkurugenzi Msaidizi wa TEHAMA wa Mahakama ya Tanzania, Machumu Essaba akimuelezea Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof.Ibrahim Hamis Juma kuhusu Mfumo wa Takwimu za Mahakama (JSDS)alipotembelea Banda la Mahakama hivi karibuni katika Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Sabasaba.
 Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Majaji, watumishi wa Mahakama pamoja na watumishi kutoka Taasisi ambazo ni wadau wa Mahakamawanaoshiriki kwenye Maenesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Sabasaba. 
 Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akipata maelezo kuhusu utengenezaji wa samani za nyumbani na maofisini alipotembelea banda la Maonesho la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwenye Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelesa jijini Dar es salaam.
Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma akitembelea sehemu mbalimbali katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere kwenye Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es salaam. Aliyefuatana naye ni Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara ya Tanzania (TANTRADE), Bw. Edwin  Rutageruka. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...