Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii Bw. Rabikira Mushi(kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mfawidhi wa Kituo cha kulea wazee cha Kolandoto Bi Sophia Kang’ombe jinsi ya kuwasha Jiko la Gesi lililopo katika kituo hicho ikiwa ni moja ya mradi wa majiko ya Gesi katika Makazi ya kulea wazee nchini wa pili kushoto ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt Rashid Mfaume.
Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii Bw. Rabikira Mushi(Kushoto) akiangalia moja ya jiko linalotumia Nishati ya Gesi linalowaka wakati alipotembele kukagua maendeleo ya mradi huo hivi karibuni.
Muonekano wa Majiko yanayotumia Nishati ya Gesi yatakayotumiwa kuhudumia katika makazi ya kulea wazee ya Kolandoto na makazi mengine ya kulea wazee nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...