Kamati huru ya uchaguzi ya klabu ya Majimaji ya mjini Songea imefanya kikao cha dharura ili kupitia mapendekezo ya wanachama na wakereketwa wa klabu hiyo kuhusu kuangali upya namna ya kupunguza gharama za uchukuaji fomu kwani umekuwa ukiwaumiza wengi. Endelea kuangalia video
Home
Unlabelled
KAMATI HURU YA UCHAGUZI WA KLABU YA MAJIMAJI YAKETI KWA DHARURA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...