Waziri
wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi ambaye pia ni mwenyekiti
wa Kamati Maalum iliyoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kufanya mazungumzo na uongozi wa Barrick
Gold Corporation juu ya biashara ya madini yanayochimbwa na migodi ya
kampuni hiyo hapa nchini akiulaki ujumbe wa kampuni hiyo kabla ya kuanza
kwa mazungumzo hayo leo tarehe 31 Julai, 2017 Jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
Waziri
wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi ambaye pia ni mwenyekiti
wa Kamati Maalum iliyoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kufanya mazungumzo na uongozi wa Barrick
Gold Corporation juu ya biashara ya madini yanayochimbwa na migodi ya
kampuni hiyo hapa nchini akipata picha ya pamoja na ujumbe wa kampuni
hiyo kabla ya kuanza kwa mazungumzo hayo leo tarehe 31 Julai, 2017
Jijini Dar es Salaam
Waziri
wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi ambaye pia ni mwenyekiti
wa Kamati Maalum iliyoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kufanya mazungumzo na uongozi wa Barrick
Gold Corporation juu ya biashara ya madini yanayochimbwa na migodi ya
kampuni hiyo hapa nchini akizungumza akiwa na Afisa Mwendeshaji Mkuu wa
kampuni hiyo Bw. Richard Williams kabla ya kuanza kwa mazungumzo hayo
leo tarehe 31 Julai, 2017 Jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...