Maafisa wa Eminence Group wakimsikiliza mdau wa sekta ya mawasiliano aliyetembelea banda la Huawei katika katika kongamano la makampuni yaliyo katika sekta ya mawasiliano Afrika (Mobile 360 Conference 2017) ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Huawei Technologies Tanzania Bw Gao Mengdong wa pili kutoka kulia katika picha ya pamoja na maafisa kutoka Eminence Group katika kongamano la makampuni yaliyo katika sekta ya mawasiliano Afrika (Mobile 360 Conference 2017)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...