Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpa mkono Kaimu Balozi wa Marekani
hapa Nchini, Inmi Pettersom, baada ya kumfurahisha jambo wakati wa
mazungumzo yao yaliyofanyika katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM,
Lumumba Jijini Dar es Salaam, leo.
Kaimu
Balozi wa Marekani hapa Nchini, Inmi Pettersom, akifafanua jambo wakati
wa mazungumzo yake na Katibu Mkuu wa CCm Abdulrahman Kinana katika
Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam, leo.
Katibu
Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Palestina hapa
nchini Hazen Shabat, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba
jijini Dar es Salaam, leo
Katibu
Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimkaribisha Ofisini kwake Balozi wa
Palestina hapa nchini Hazen Shabat, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya
CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
Katibu
Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Palestina hapa
nchini Hazen Shabat, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba
jijini Dar es Salaam, leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...