Kipo Mita 800 kutoka Barabara
kubwa iendayo Bagamoyo. Kiwanja kimepimwa, kina hati na kipo
katika eneo lililopangwa na kuendelezwa vizuri.
Bei: Tshs. 40m/- (maelewano yapo) na malipo yanaweza kufanywa kwa awamu
mbili.
Mawasiliano: +255 713 576464 au +1 832 734 3292
(ikiwa haipatikani acha sms whatsapp)
Email: roseodessa@yahoo.com
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...