Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Mhe. Omary Kumbilamoto akihutubia wakazi wa Vingunguti wakati wa mkutano wake wa Hadhara wa kutekeleza ahadi alizoaahidi katika kata hiyo.
wakazi wa Vingunguti wakiwa katika mkutano huo wa Diwani wao Omary Kumbilamoto
Diwani wa viti Maalum wa Chama cha Wananchi CUF kata ya Upanga, Riziki Shahari akikabidhi jezi kwa timu ya mtaa wa Kwa Kombo
Bondia wa Ubingwa wa kati wa zamani Rashid Matumla akikabidhi mpira kwa Veterani wa Vingunguti.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...