Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa hifadhi ya Jamii wa LAPF Bw. James Mlowe akizungumza na Mkurugenzi wa Afri Tea Blenders  Bw. Abdulhakim Mulla alipotembelea banda la maonyesho lililopo kaika maonesho ya Sabasba jijini Dar es Salaam
 Afisa Matekelezo wa LAPF Emmanuel Meisha akizungumza na mmoja wa Wateja wa LAPF ambae ameweza kufika katika banda la mfuko huo wa hifasdhi ya jami hili aweze kujiunga
 Afisa Matekelezo wa LAPF, Juma Venerando akitoa hudama kwa wateja waliofik katika banda la LAPF, Kupata huduma hili waweze kujiunga na mfuko huo


Wafanyakazi wa mfuko wa Pensheni wa LAPF wakiwa katika picha ya pamoja na tuzo ya ushindi wa kuwa mfuko bora wa hifadhi ya jamii katika maonesho ya Sabasba 2017

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...