Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa hifadhi ya Jamii wa LAPF Bw. James Mlowe akizungumza na Mkurugenzi wa Afri Tea Blenders Bw. Abdulhakim Mulla alipotembelea banda la maonyesho lililopo kaika maonesho ya Sabasba jijini Dar es Salaam
Afisa Matekelezo wa LAPF Emmanuel Meisha akizungumza na mmoja wa Wateja wa LAPF ambae ameweza kufika katika banda la mfuko huo wa hifasdhi ya jami hili aweze kujiunga
Afisa Matekelezo wa LAPF, Juma Venerando akitoa hudama kwa wateja waliofik katika banda la LAPF, Kupata huduma hili waweze kujiunga na mfuko huo
Wafanyakazi wa mfuko wa Pensheni wa LAPF wakiwa katika picha ya pamoja na tuzo ya ushindi wa kuwa mfuko bora wa hifadhi ya jamii katika maonesho ya Sabasba 2017
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...