Mikoa ya Ruvuma, Mtwara pamoja na majimbo ya Niassa, Cabo Delgado ya Msumbiji ykubaliana kuendeleza vyema mahusiano ya ujirani mwema ili kuleta fursa za watu wa nchi hizo mbili. Katibu Tawala mkoa wa Ruvuma Bw. Hassan Bendeyeko ameongea  wakati wa kufungua mkutano wa ujirani uliofanyika mkoani Ruvuma kwa siku mbili habari kamili ni hii hapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...