Mikoa ya Ruvuma, Mtwara pamoja na majimbo ya Niassa, Cabo Delgado ya Msumbiji ykubaliana kuendeleza vyema mahusiano ya ujirani mwema ili kuleta fursa za watu wa nchi hizo mbili. Katibu Tawala mkoa wa Ruvuma Bw. Hassan Bendeyeko ameongea wakati wa kufungua mkutano wa ujirani uliofanyika mkoani Ruvuma kwa siku mbili habari kamili ni hii hapa.
Home
Unlabelled
MAJIMBO YA NIASSA,CABO DELGADO YA MSUMBIJI YATAENDELEZA MAHUSIANO NA MIKOA YA RUVUMA ,MTWARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...