Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa
Sudani Kusini Mhe. Jenerali Taban Deng Gai ambapo mazungumzo yao
yalihusu kuendelea kudumisha mahusiano baina ya nchi hizi
mbili.Mazungumzo hayo yamefanyika wakati mkutano wa 29 wa wakuu wa nchi
na serikali wa Umoja wa Afrika, jijini Addis Ababa ukihitimishwa. (Picha
na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...