Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
jana amemjulia hali mtoto wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Khalfan
Kikwete, ambaye amelazwa katika wodi ya Sewa Haji katika hospitali ya
Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam. Kulia ni Rais Mstaafu Dkt
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mkewe Salma Kikwete.
Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais.
Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...