Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete akisalimiana na viongozi na mashabiki wakati alipowasili uwanja wa Kinesi Ubungo jijini Dar es salaam kuangalia kuangalia mtanange wa Ndondo Cup kati ya timu ya Stim Tosha na Keko Furniture. Katika Mechi hiyo Keko wameshinda kwa penati 4-2 baada ya kutoka Sare ya magoli 1-1 katika muda wa kawaida.
Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete akisalimiana na viongozi na mashabiki wakati alipowasili uwanja wa Kinesi Ubungo jijini Dar es salaam kuangalia kuangalia mtanange wa Ndondo Cup kati ya timu ya Stim Tosha na Keko Furniture. Katika Mechi hiyo Keko wameshinda kwa penati 4-2 baada ya kutoka Sare ya magoli 1-1 katika muda wa kawaida.
Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete akihojiwa na Azam TV katika uwanja wa Kinesi Ubungo jijini Dar es salaam alipofika kuangalia kuangalia mtanange wa Ndondo Cup kati ya timu ya Stim Tosha na Keko Furniture. Katika Mechi hiyo Keko wameshinda kwa penati 4-2 baada ya kutoka Sare ya magoli 1-1 katika muda wa kawaida.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...