Mkurugenzi mtendaji wa halimashauri ya MADABA SHIFII MPENDA ametembelea eneo ambalo limeaharibiwa vibaya na baadhi ya wananchi wanaojishughulisha na kilimo pamoja na ufugaji kwenye vyazo vya maji.Haikuwa rahisi kufikia eneo hilo kwani ilitupasa kutembea kwa mwendo mrefu kuweza kufikia eneo husika ambalo ni chazo cha mto NAMAOVI kijiji cha MWANDE kata ya MATETELEKA halimashauri ya MADABA mkoani RUVUMA HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...