Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Dkt.Hassan Abbasi(katikati) na Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali (TSN) Dk. Jimmy Yonaz(kulia) wakijadili jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji (Biashara na Uwekezaji) Prof.Adolf Mkenda walipotembele katika Maonesho ya 41 ya Kimataifa ya Biashara yanayofanyika Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Dkt.Hassan Abbasi akipata maelezo kutoka kwa Afisa Masoko wa Wizara ya Viwanda,Biashara na Uwekezaji Bw.Ally Mayai alipotembele banda hilo katika Maonesho ya 41 ya Kimataifa ya Biashara yanayofanyika Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Dkt.Hassan Abbasi(katikati), Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali (TSN) Dk. Jimmy Yonaz(kulia) na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari-MAELEZO(Huduma za Habari) Bw.Rodney Thadeus wakipata maelezo kutoka kwa Paul Michael Mkurugenzi wa Kiwanda cha Bidhaa za Ngozi cha P.M.Tito’s walipotembelea Maonesho ya 41 ya Kimataifa ya Biashara leo Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Dkt.Hassan Abbasi na Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali (TSN) Dk. Jimmy Yonaz wakipata maelezo ya namna picha za video za zamani zilivyokuwa zinahifadhiwa alipotembelea banda la Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) katika Maonesho ya 41 ya Kimataifa ya Biashara leo Jijini Dar es Salaam.
Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali (TSN) Dk. Jimmy Yonaz akimpa maelezo Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Dkt.Hassan Abbasi namna wanavyofanya shughuli zao, alipotembelea banda la hilo katika Maonesho ya 41 ya Kimataifa ya Biashara leo Jijini Dar es Salaam
1- Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Dkt.Hassan Abbasi akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) katika Maonesho ya 41 ya Kimataifa ya Biashara Leo Jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali (TSN) Dkt. Jimmy Yonaz.


PICHA NA IDARA YA HABARI-MAELEZO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...