Mrisho Mpoto akiwa ameshika tuzo ya Property International mara baada ya kutangazwa kuwa balozi wa kampuni ya Property International katika maonyesho ya kimataifa ya Biashara
Mtendaji Mkuu wa Property International Abdulkarim Haleem akitoa maelezo kwa Mrisho Mpoto mara baada ya kumtangaza kuwa balozi wa kampuni hiyo
Mrisho Mpoto akipata maelezo kutoka kwa wakurugenzi wa kampuni ya Property
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...