Mshabiki wa Manchester United aliyevamia uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na kwenda kumkumbatia Wayne Rooney wakati Everton ya Uingereza  ikichuana na Gor Mahia ya Kenya. Uwanja mzima ulishangilia.
Mpira umekwisha kwa Everton kushinda bao 2-1, magoli yakifungwa na Rooney dakika ya 35 kabla  Tuyisenge wa Gor Mahia kusawazisha dakika mbili baadaye. Goli la ushindi la Everton limepatikana dakika ya 82 kupitia kwa mshambuliaji Kieran Dowell. 

Askari polisi wakimdaka mshabiki wa Manchester United aliyevamia uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na kwenda kumkumbatia Wayne Rooney wakati Everton ya Uingereza  ikichuana na Gor Mahia ya Kenya - ikiwa ni baada ya kuandika katika Instagram ujumbe unaosadikiwa kuwa wake kwamba atafanya tendo hilo. 

Mshabiki huyo akisindikizwa na polisi.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...