Meya wa Jiji la Dares Salaam ,Isaya Mwita akiwasili katika banda la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Katika maonyesho ya 41 ya Sabsaba
Meneja Masoko wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Bw. Joseph Haule akitoa maelezo kwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam na Manispaa ya Kinondoni ,Benjamini Sitta.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni ,Benjamini Sitta. akisaini kitabu cha Wageni kwenye banda la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...