Meya wa Jiji la Dares Salaam ,Isaya Mwita akiwasili katika banda la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Katika maonyesho ya 41 ya Sabsaba
 Meneja Masoko wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Bw. Joseph Haule akitoa maelezo kwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam na Manispaa ya Kinondoni ,Benjamini Sitta.

Meya wa  Manispaa ya Kinondoni ,Benjamini Sitta. akisaini kitabu cha Wageni kwenye banda la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...