Mwandishi na Muongozaji wa filamu katika kampuni ya KIJIWENI Production, Amil Shivji akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wadau wa masuala ya filamu (hawapo pichani) mapema leo Julai 9,2017 wakati wa mkutano na waandishi wa Habari.
Mwandishi na Muongozaji wa filamu katika kampuni ya KIJIWENI Production, Amil Shivji akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wadau wa masuala ya filamu mapema leo Julai 9,2017 wakati wa mkutano na waandishi wa Habari.
Muigizaji mpya Hawa Ally alietumia jina la Fatuma akielezea namna alivyoweza kuucheza uhusika kwenye filamu ya T-junction. Kushoto ni Mwandishi na Muongozaji wa filamu katika kampuni ya KIJIWENI Production, Amil Shivji mapema leo Julai 9,2017 wakati wa mkutano na waandishi wa Habari.
Mwandishi na Muongozaji wa filamu katika kampuni ya KIJIWENI Production, Amil Shivji akiwatambulisha Hawa Ally (Fatima) na Magdalena Christopher (Maria) mapema leo Julai 9,2017 wakati wa mkutano na waandishi wa Habari.
Amil Shivji (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Kikwete (katikati) na baba yake mzazi  Profesa Issa Shivji mara baada ya uzinduzi huo wa tamasha la 20 la ZIFF 2017. (PICHA ZOTE NA ANDREW CHALE).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...