Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt Hamis Kigwangalla(Mb) akilsililiza Katibu wa Baraza la wazee wa Mkoa wa Shinyanga Mzee Faustine Sengerema mara baada ya kuweka jiwe la Msingi katika jengo la bweni la wazee katika makazi ya wazee waisiojiweza ya Kolandoto mkoani Shinyanga.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wazee na Watoto Mhe. Dkt Hamis Kigwangalla(Mb) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Ujenzi wa Bweni la wazee waishio katika makazi ya wazee wasiojiweza ya Kolandoto Mhandisi Harold Jackson Mtyana wakati Naibu Waziri huyo alipofanya ziara ya kukagua ujenzi huo na kuweka jiwe la msingi.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt Hamis Kigwangalla(Mb) akisililiza matumizi ya nishati ya jiko la gesi kutoka kwa Afisa Mfawdhi ya Makao ya wazee Kolandoto katika Manispaa ya Shinyanga, muda mfupi kabla ya uzinduzi wa matumizi ya majiko hayo katika vituo vya makao ya wazee na watoto hapa nchini.
Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na Watoto Mhe. Dkt Hamis Kigwangalla(Mb) akikata utepe katika moja ya bajaji kuashiria ugawaji na matumizi rasimi ya bajaji hizo katika makazi ya kulea wazee wasiojiweza ya Kolandoto Shinyanga kwa niaba ya Makazi mengine nchini.
Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na Watoto Mhe. Dkt Hamis Kigwangalla(Mb) akimkabidhi funguo ya bajaji Afisa Mfawidhi wa Makazi ya Kulea wazee wasiojiweza ya Kolandoto Bi Sophia Kang’ombe kwa niaba ya maafisa Wafawidhi katika makazi mengine nchini.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt Hamis Kigwangalla(Mb) akimkabidhi Sanduku la Huduma ya kwanza Afisa Mfawidhi wa Makazi ya Kulea Wazee wasiojiwezaya Kolandoto Bi Sophia Kang’ombe kwa niaba ya maafisa Wafawidhi katika makazi mengine nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...