Kaimu Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano na Hifadhi  hati  kutoka Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa 'NIDA' ,Rose Mdami  akimsikiliza mmoja wa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam aliyefika kupata huduma ya Kitambulisho cha Taifa katika banda lao lililopo  katika Viwanja vya Maonyesho Sabasaba
 Afisa Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)  Agnes Gerald  akiwa amezungukwa na wateja mbalimbali  waliofika kupata vitambulisho vya Taifa. katika viwanja vya Maonesho Sabasaba
 baadhi ya wakazi wa jiji wakisubiri kupigwa picha hili waweze kupatiwa Vitambulisho vyao
 Afisa Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(NIDA),Said Said akiwa amezungukwa na wateja mbalimbali  waliofika kupata vitambulisho vya Taifa. katika viwanja vya Maonesho Sabasaba
 Afisa kutoka Uhamiaji ,Elias Chipolo akikagua nyaraka  na viambatanisho vinavytakiwa katika fomu ya kuomba vitambulisho vya Taifa.
Sehemu ya watu waliofurika katika Maonyesho ya Sabasaba kufuata vitambulisho vya Taifa


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...