Meneja wa benki ya NMB kanda ya Dar es Salaam ,Vicky Bishibo akizungumza na walimu wakati wa mkutano wa siku ya walimu katika mkoa wa Dar es Salaam na benki hiyo uliofanyika mapema leo Sinza,jijini Dar.
 Kaimu Katibu Mkuu wa Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU), Prof Eleuther Mwageni akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Walimu na Benki ya NMB wakati wa mkutano mkuu wa siku ya walimu na benki hiyo jijini Dar es Salaam leo.
 Mkurugenzi Mkuu wa wateja wadogo wadogo na wakati wa NMB,Abdulmajid Nsekela akizungumza na walimu juu ya huduma mpya za NMB ambazo zinaweza kuwasaidia katika kujiongeza kipato na kulea familia kwa uraisi.
 Sehemu ya walimu walioshiriki mkutano huo ambao uliweza kuwakutanisha walimu kutoka Wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...