Rais
wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipata
maelezo ya ujenzi wa mradi mkubwa wa maji toka Ziwa Tanganyika toka kwa mhandisi
mshauri wa mradi huo ndugu Michael Mwamkinga
Rais
wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa na
Waziri Maji Mhandisi Gerson Lwenge, Mbunge wa Kigoma mjini Mhe. Zitto Kabwe pamoja na viongozi wengine wakikata utepe kuashiria
uzinduzi wa ujenzi wa mradi wa maji toka
ziwa Tanganyika
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa na Waziri Maji Mhandisi Gerson Lwenge, Mbunge wa Kigoma mjini Mhe. Zitto Kabwe pamoja na viongozi wengine akiweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi wa ujenzi wa mradi wa maji toka Ziwa Tanganyika
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akihutubia Mamia ya Wananchi wa Mkoa wa Kigoma katika Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma.
Rais
wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli,akiwa katika
picha ya pamoja na vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa Bulombora Kikosi cha 821KJ.
Maelfu ya waanchi wakimsikiliza Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakati akiwahutubia a katika Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania DktJohn Pombe Joseph Magufuli akisoma mabango baada ya kuhutubia katika Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma
Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania DktJohn Pombe Joseph Magufuli akiwatuliza wananchi wakati akisoma mabango baada ya kuhutubia katika Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma
Umati wa wananchi uliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania DktJohn Pombe Joseph Magufuli katika Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...