Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank PLC, Dkt. Charles Kimei wakati alipotembelea Banda la CRDB  kwenye Maonyesho ya Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa (sabasaba), yaliyoanza Juni 28 - Julai 8, 2017 ambapo kwa mwaka huu yameongezewa siku tano zaidi na kutarajiwa kumalizika Julai 13, 2017, yaliyozinduliwa na Rais mwishoni mwa wiki katika Viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, Kilwa Road jijini Dar es salaam.
 Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimuuliza jambo Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank PLC, Dkt. Charles Kimei wakati alipotembelea Banda la CRDB  kwenye Maonyesho ya Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa (sabasaba), yaliyoanza Juni 28 - Julai 8, 2017 ambapo kwa mwaka huu yameongezewa siku tano zaidi na kutarajiwa kumalizika Julai 13, 2017, yaliyozinduliwa na Rais mwishoni mwa wiki katika Viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, Kilwa Road jijini Dar es salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank PLC, Dkt. Charles Kimei akieleza jambo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli wakati alipotembelea Banda la CRDB  kwenye Maonyesho ya Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa (sabasaba), yaliyoanza Juni 28 - Julai 8, 2017 ambapo kwa mwaka huu yameongezewa siku tano zaidi na kutarajiwa kumalizika Julai 13, 2017, yaliyozinduliwa na Rais mwishoni mwa wiki katika Viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, Kilwa Road jijini Dar es salaam.
 Baadhi ya Wafanyakazi wa CRDB Bank PLC wakiendelea kutoa huduma za kibenki kwa wateja waliotembelea Banda lao.
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank PLC, Dkt. Charles Kimei akielekeza jambo kwa baadhi ya watendaji wa benki hiyo, katika Banda la CRDB  kwenye Maonyesho ya Maonyesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa (sabasaba), yaliyoanza Juni 28 - Julai 8, 2017 ambapo kwa mwaka huu yameongezewa siku tano zaidi na kutarajiwa kumalizika Julai 13, 2017, yaliyozinduliwa na Rais mwishoni mwa wiki katika Viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, Kilwa Road jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...