Rais wa Samsung Africa ambaye pia ni Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo, Bw. Yoo Young Kim akizungumza na wasambazaji pamoja na wadau mbalimbli juu ya mchango wao endelevu na akitumaini maendeleo bora ya kibiashara kwa siku za usoni katika hafla iliyo fanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Samsung Africa Mashariki, Bw. John Park (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi mtendaji wa kampuni Pyramid consumers, Bw. Abraham Okora cheti cha kumtambulisha rasmi kama msambazaji wa bidhaa za majumbani za samsung Tanzania
Meneja wa Samsung nchini Tanzania,Rayton Kwembe akifafanua mbele ya wadau mambo mbalimbali ya vifaa vya kampuni hiyo.
Kikundi cha Safari Theatre kikitoa burudanza katika hafla hiyo.
Picha na Emmanuel Massaka
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...