Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda akipokelewa na Msani Mrisho Mpoto katika banda la Elimu kwa Umma la Mamlaka ya Hifadhi ya Bonde la Ngorongoro katika Maonesho ya Sabasaba ambapo kupita banda hilo mkuu wa mkoa amehahidi kuwapeleka wanafunzi 50 wa mkoa wa Dar es Salaam bonde la hifadhi ya Ngorongoro
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda akiasalimaina na Watendaji wa Ngorongoro katika banda la Elimu kwa Umma la Mamlaka ya Hifadhi ya Bonde la Ngorongoro katika Maonesho ya Sabasaba
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda, akikabidhi zawadi kwa watoto waliojibu maswali vizuri juu ya hifadhi ya Ngorongoro
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makondaakikabidhi zawadi kwa watoto waliojibu maswali vizuri juu ya hifadhi ya Ngorongoro
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda akizungumza na wakazi wa jiji la Dar es Salaaam waliofika katika banda la Elimu kwa Umma la Mamlaka ya Hifadhi ya Bonde la Ngorongoro katika Maonesho ya Sabasaba. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...