Katibu wa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu,Seperatus
Fella, akizungumza kwenye mkutano uliowakutanisha wajumbe wa Kamati
na Sekretarieti ya Kitaifa ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya
Usafirishaji Binadamu,lengo ikiwa ni kupitia Sheria mbalimbali
zinazosimamia biashara hiyo.Wengine ni Mwenyekiti wa kamati hiyo na
Mkurugenzi Mradi wa kuzuia biashara hiyo kutoka Taasisi ya Kimataifa ya
RTI,Dk. Lyungai Mbilinyi.Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa
Makao Makuu ya Jeshi la Polisi,jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi Mradi wa Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu kutoka
Taasisi ya Kimataifa ya RTI, Dk. Lyungai Mbilinyi, akizungumza kwenye
mkutano uliowakutanisha wajumbe wa Kamati na Sekretarieti ya Kitaifa ya
Kuzuia na Kupambana na Biashara hiyo,lengo ikiwa ni kupitia Sheria
mbalimbali zinazosimamia biashara hiyo.Wengine ni Mwenyekiti wa kamati
hiyo () na Katibu wa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa
Binadamu,Seperatus Fella. Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa
Makao Makuu ya Jeshi la Polisi,jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Kamati na Sekretarieti ya Kitaifa ya Kuzuia na Kupambana na
Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu akizungumza wakati wa
mkutano wa kupitia Sheria mbalimbali zinazosimamia biashara hiyo.
Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la
Polisi,jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...