Sehemu ya watumishi
wa umma wa Wilaya ya Kigamboni walioshiriki katika ziara ya kikazi ya Waziri wa
Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.
Angellah J. Kairuki leo katika Wilaya ya Kigamboni Jijini Dar es Salaam
Mganga Mkuu wa Wilaya ya
Kigamboni Dkt. Bakari Mbwana akitoa hoja wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri wa
Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.
Angellah J. Kairuki kuzungumza na watumishi wa umma na kutatua kero zao leo
katika Wilaya ya Kigamboni Jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Hashim
Mgandilwa akitoa taarifa fupi ya watumishi wa wilaya yake kwa Waziri wa Nchi,
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J.
Kairuki (kulia) alipofanya ziara ya kikazi katika wilaya hiyo leo Jijini Dar es
Salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki akizungumza na
watumishi wa umma wa Wilaya ya Kigamboni (hawapo pichani) wakati wa ziara ya
kikazi katika wilaya hiyo leo Jijini Dar es Salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...