Wachuuzi wa Samaki  wakiwa wanaelekea ndani ya Maji kwa ajili ya kununua Samaki maarufu kwa jina la Uono, ambao unapendwa sana katika mji wa Tanga kwa ajili ya kulia Ugali na kutafuna wakati wa chai asubuhi
 Wachuuzi wa Samaki wakichangamkia Samaki katika moja ya jahazi lililoingia na mzigo kutoka  katika kina kirefu mara baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu
 Mchuuzi wa Samaki akingia katika maji kwa ajili ya kununua Samaki katika Majahazi yaliyofika katika ufukwe wa Sahare
 Wavuvi wakiondoka kwenda kuvua mapema leo Asubuhi katika pwani ya Jiji la Tanga
 Mkazi wa Jiji la Tanga akichagua Samaki kutoka wauzaji wa soko la Sahare jijini Tanga.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...