Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (kulia) akimkabidhi picha ya jengo la Bunge Rais Mstaafu wa Ireland ambae pia ni Mjumbe wa “The Elders” Taasisi inayoshughulika na Amani, Haki za Binadamu na Huduma za Afya, Mhe. Mary Robinson katika tukio lililofanyika leo katika Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (kulia)akizungumza wakati ugeni kutoka
“The Elders” Taasisi inayoshughulika na Amani, Haki za Binadamu na
Huduma za Afya ilipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma, katikati
ni Rais Mstaafu wa Ireland ambae pia ni Mjumbe kutoka Taasisi hiyo Mhe.
Mary Robinson na kushoto ni Mjumbe wa Taasisi hiyo Mama Graca Michel
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimsikiliza Mjumbe wa “The
Elders” Taasisi inayoshughulika na Amani, Haki za Binadamu na Huduma za
Afya Mama Graca Machel (kushoto) katika kikao kilichofanyika leo
Ofisini kwake Mjini Dodoma, katikati ni Rais Mstaafu wa Ireland ambae
pia ni Mjumbe kutoka Taasisi hiyo Mhe. Mary Robinson
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimsikiliza Rais Mstaafu wa
Ireland (katikati) ambae pia ni Mjumbe wa “The Elders” Taasisi
inayoshughulika na Amani, Haki za Binadamu na Huduma za Afya, Mhe. Mary
Robinson, kulia ni Mjumbe wa Taasisi hiyo Mama Graca Machel (kushoto)
katika kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...