Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia)akisalimiana na Mchezaji wa timu ya Bunge Mheshimiwa William Ngeleja (kushoto) wakati akikagua vikosi vya timu ya Bunge pamoja na timu ya FC GRACE UNITED STATES kutoka nchini Marekani kabla ya kuanza kwa mechi yao iliyofanyika leo katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia)akionyesha zawadi ya jezi ya timu ya Taifa ya Marekani aliyopewa na Mchezaji wa timu ya FC GRACE UNITED STATES Ndg. Robert Allen (kushoto) kabla ya kuanza kwa mechi kati ya timu ya Bunge pamoja na timu ya FC GRACE UNITED STATES kutoka nchini Marekani iliyofanyika leo uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia)akikabidhiwa jezi na Mchezaji wa timu ya FC GRACE UNITED STATES Ndg. Robert Allen (kushoto) kabla ya kuanza kwa mechi kati ya timu ya Bunge pamoja na timu ya FC GRACE UNITED STATES kutoka nchini Marekani iliyofanyika leo uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (wa pili kulia)akifurahia jambo na Mchungaji Vicent Valentyn kutoka Afrika kusini (watatu kulia) wakati wakifuatilia mechi kati ya timu ya Bunge pamoja na timu ya FC GRACE UNITED STATES kutoka nchini Marekani iliyofanyika leo uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma.


 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto)akikabidhiwa Mipira kutoka kwa Ndg. Robert Allen (kulia) kwa ajili ya timu ya Bunge, kabla ya kuanza kwa mechi kati ya timu ya Bunge na timu ya FC GRACE UNITED STATES kutoka nchini Marekani  iliyofanyika leo uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...