Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job
Ndugai (kushoto) akizungumza wakati alipotembelewa na ugeni kutoka CRDB
Benki Tawi la Dodoma, Katikati ni Meneja wa CRDB Benki Tawi la Dodoma
Ndg. Rehema Hamisi na kulia ni Meneja Biashara Ndg. Danny Shemdoe,
katika kikao kilichofanyika leo ofisini kwake Mjini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...