Spika wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai ametembelea Kiwanja cha Ubalozi wa Tanzania nchini Nigeria ambapo kinakusudiwa kujengwa ofisi za Ubalozi mjini Abuja. Anaemuonesha ni Mhe Elias Mwandobo, Kaimu Balozi wa Tanzania nchini humo.Mwingine pichani ni Katibu wa Spika,Ndg.Saidi Yakubu.
Spika wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiwa kwenye Kiwanja ambacho kinakusudiwa kujengwa Ofisi za Ubalozi mjini Abuja. Kushoto ni Mhe Elias Mwandobo,Kaimu Balozi wa Tanzania nchini humo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...