Marehemu Patricia Ndenengo Shang'a enzi za uhai wake.
Familia ya marehemu Mzee Michael John Shang'a ya Msasani Beach (Mlalakua darajani) jijini Dar es salaam inasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao dada mpendwa Patricia Ndenengo Shang'a kilichitotokea July 13, 2017 hapo nyumbani.
Mazishi yanatarajiwa kufanyika Jumamosi July 15, 2017. Msiba upo hapo hapo nyumbani Mlalakua darajani.
Habari ziwafikie Familia zote za Shang'a, Kimesera, Mosha, Mmari, Ngowi, Mmasi pamoja na ndugu, jamaa, marafiki na majirani popote pale walipo.
Mazishi yatafanyika leo saa 10 jioni katika makaburi ya Kinondoni Lang'ata jijini Dar es salaam.
Mazishi yatafanyika leo saa 10 jioni katika makaburi ya Kinondoni Lang'ata jijini Dar es salaam.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...